Alhamisi, 23 Januari 2014




(News): Bondia rashid matumla akitoa salamu katika tamasha la wasanii
         

                   





       (News): Hii ni baadhi ya burudan ndani la lamada hotel katika kongamano la wasanii.
                           







       (News): Prof penena mrama akitoa maneno matamu katika kongamano la wasanii katika hotel ya lamada.  

                        





       (News): Rapper chid benzi akifanya yake(akitumbuiza) katika kongamano la wasanii lililofanyika lamada hotel tar 17/1/2014.
              



    
       (News): Mwimbaji wa nyimbo za gospel stara thomas  na mzee chilo wakiburudisha katika tamasha la wasanii liliofanyika katika hotel ya lamada tar 17/1/2014.
               

Jumanne, 14 Januari 2014




      (News): CHRISTIAN RONALDO ndiye mchezaji bora wa FIFA mwaka 2013