(News): Avril achumbiwa na Msouth,kufunga ndoa mwakani.
Muimbaji wa kitu kimoja na 'Hakuna yule ',mrembo Avril Nyambura hayupo tena sokoni .Kwa mujibu wa standard Digital Entertainment, Avril amechumbiwa na raia wa Afrika kusini aishiye jijini Nairobi na wamepanga kufunga ndoa
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni