Jumapili, 22 Desemba 2013

(News): DIAMOND PLATNUMZ  awatembelea watoto yatim
a leo na kuwapa zawadi ya xmas  
siku yangu ya leo baada ya swalt Ijumaa nilitumia kutembelea kituo cha watoto wanaoishi katika mazingira magumu kilichopo Buguruni,ambapo nilikula chakula cha mchana,tukacheza na kwa mara ya kwanza nikawapa fursa ya kutazama video yangu mpya ya Number one remix.....Na kisha nikawapa Complimentary 50 za kuja kusherehekea na kutazama live show yangu ya watoto itakayofanyika Leaders club tarehe 25/12/2013




 


Hakuna maoni: